Huduma zetu • what we offer
Mikopo kwa Wajasiriamali na Wafanyabiashara
Kuanzia TZS 50,000 hadi 3,000,000 | Mchakato rahisi, riba nafuu, malipo ya kuendana na mapato yako.
➔ Riba rafiki kwa WoteMikopo kwa Watumishi
Kuanzia TZS 50,000 hadi 5,000,000 | Mchakato rahisi, riba nafuu, malipo ya kuendana na mapato yako.
➔ Riba rafiki kwa WoteMikopo kwa Wastaafu & Vikundi
Kuanzia TZS 50,000 hadi 5,000,000 | Vikundi yenye dhamana ya kijamii, elimu ya biashara na ushirikiano.
➔ Riba rafiki kwa WoteMikopo ya Dharura
Kuanzia TZS 50,000 hadi 500,000 | Mchakato rahisi, riba nafuu, malipo ya kuendana na mapato yako.
➔ Riba Rafiki kwa WoteKuhusu sisi • About Retawa
Tangu 2023, Retawa Financial Services imekuwa ikitoa huduma za kifedha kwa Wajasiriamali, Wafanyabiashara, Watumishi wa Umma na Sekta binafsi, Wastaafu na Vikundi mbalimbali.
- Makao makuu: Kilala NAIC, Meru, Arusha
- Matawi 5 kukufikia mteja wetu
- Zaidi ya wateja 8,500 wamehudumiwa
"Retawa ilinisaidia kupanua duka langu kutoka kibanda hadi jengo. Asanteni sana."
— Mwanaidi J., mteja tangu 2024
Wasiliana nasi
+255 712 949 006
info@retawafinancialservices.com
retawafinance@gmail.com
Jumatatu – Ijumaa: 08:00 – 18:00
Jumamosi & Jumapili: 10:00 – 17:00
RETAWA FINANCIAL SERVICES
is managed by LOANCLOUD
A digital software to ease loans management – customers, contracts, repayments, staff, reports. Built for microfinances, credit companies by SoftMack DigitalSecure Staff Login